Darasa la Saba Kuanza Mitihani ya Taifa Kesho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jumla ya watahiniwa 1,024,700  wanatarajiwa kuanza mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi kuanzia kesho, Oktoba 7 hadi Oktoba 8, 2020 na watahiniwa 974,532 watafanya mitihani hiyo kwa lugha ya kuswahili huku watahiniwa  49,475 wakitarajiwa kufanya kwa lugha ya Kiingereza.


 


Hayo yamesemwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde, leo, Oktoba 6, 2020 wakati akizungumza na vyombo vya habari na kuongeza kuwa maandalizi yote yamekamilika ikiwemo kusambazwa kwa karatasi za mitihani, fomu maalum za ‘OMR’ za kujibia mitihani na nyaraka zote muhimu zinazohusika katika mtihani huo nchi nzima.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad