google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Davido adai kufanyiwa figisu na Wizkid na Burna boy, ili asifanye vizuri kimuziki ndani na nje ya Nigeria | UDAKU SPECIAL

Davido adai kufanyiwa figisu na Wizkid na Burna boy, ili asifanye vizuri kimuziki ndani na nje ya Nigeria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria, @davidoofficial , amedai kuwa Mastaa Wenzake @wizkidayo na @burnaboygram wameungana ili kutaka kumpoteza kwenye ramani ya muziki nchini humo na nje ya Nigeria, Jambo ambalo amedai kuwa hawatoweza kufanikiwa.




Akizungumza katika kituo cha radio cha @BounceRadioLive cha nchini Nigeria, Davido amesema alijitahidi sana kuepuka bifu baina yake na Burna Boy Pamoja na Wizkid , ila wawili hao wameendelea kumchukia bila sababu ya msingi .


Davido alisikika akisema “Burna Boy alikasirishwa na mimi kupost picha nikiwa na Wizkid, Kuna mtu aliniambia kuwa @burnaboygram hakupendezwa na ile picha. Nasikia wameungana ili kushindana na mimi Lakini hawatafanikiwa kwa hilo “.


Kama kawaida  @wizkidayo na @burnaboygram hawajajibu chochote kile na sidhani kama wanaweza kumjibu kwani wakijibu tu, hiyo itakuwa ni attention kubwa kwa Davido na usishangae akaachia na ngoma mpya.


 

View this post on Instagram


#Bongo5Updates: DAVIDO ADAI @WIZKID NA @BURNABOYGRAM WAMEUNGANA KUMPOTEZA KWENYE GEMU NDANI NA NJE YA NIGERIA AKIONGEZA WANAMFANYIA FIGISU FIGISU SANA. Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria, @davidoofficial , amedai kuwa Mastaa Wenzake @wizkidayo na @burnaboygram wameungana ili kutaka kumpoteza kwenye ramani ya muziki nchini humo na nje ya Nigeria, Jambo ambalo amedai kuwa hawatoweza kufanikiwa. Akizungumza katika kituo cha radio cha @BounceRadioLive cha nchini Nigeria, Davido amesema alijitahidi sana kuepuka bifu baina yake na Burna Boy Pamoja na Wizkid , ila wawili hao wameendelea kumchukia bila sababu ya msingi . Davido alisikika akisema "Burna Boy alikasirishwa na mimi kupost picha nikiwa na Wizkid, Kuna mtu aliniambia kuwa @burnaboygram hakupendezwa na ile picha. Nasikia wameungana ili kushindana na mimi Lakini hawatafanikiwa kwa hilo “. Kama kawaida  @wizkidayo na @burnaboygram hawajajibu chochote kile na sidhani kama wanaweza kumjibu kwani wakijibu tu, hiyo itakuwa ni attention kubwa kwa Davido na usishangae akaachia na ngoma mpya. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad