DoneDEAL: Tshishimbi asaini AS Vita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kiungo na nahodha wa zamani wa Yanga Papy Kabamba Tshishimbi raia wa Congo DR amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumia club ya AS Vita ya Congo DR.

 

Tshishimbi amesaini mkataba huo mbele ya Rais wa club Bestine Kazadi na sasa yupo tayari kuanza kuitumikia timu hiyo baada kuonekana mara kadhaa akifanya nao mazoezi.

 

Hata hivyo Tshishimbi anasaini na AS Vita kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Yanga na kushindwa kufikia makubaliano ya kuongeza mkataba mwingine.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad