AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema, Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii #Sheria na kufuata Sheria
Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yoyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"
Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye Mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK