Dr Bashiru "Wagombea wa CCM Kutoenguliwa ni Suala la Kutii Sheria"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema, Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii #Sheria na kufuata Sheria

Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yoyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"

Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye Mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad