Hali ya Zitto Kabwe na Wenzake Watano Baada ya Kupata Ajali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amepata ajali wakati akitokea Kalya kuelekea Lukoma kwa ajili ya kampeni katika Jimbo la Kigoma Kusini

Alikuwa na watu watano kwenye gari na wote wapo salama licha ya kupata majeraha. Wamefikishwa Kituo cha Afya cha Kalya Wilayani Uvinza mkoani humo baada ya kupatiwa huduma ya kwanza

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Dua za MEMBE.

    UNA MCHAKACHUAJE..?? MANUSURA UMETOKA HAI.

    KAOMBE RADHI.

    ReplyDelete

Top Post Ad