AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Utalii nchini, Dkt. Hamis Kigwangalla amesema wanatazamia kutuma Helikopta na Ndege katika Mlima #Kilimanjaro ili kujaribu kuuzima moto unaoendelea kuwaka kwa siku ya 5 sasa
Jana Waziri Kigwangala alitangaza kuwa wameweza kuudhibiti moto huo, lakini baadaye moto ulianza kusambazwa zaidi na upepo uliovuma katika Mlima huo
Katika ujumbe wake wa Twitter, Waziri Kigwangalla amethibitisha kuwa moto unaendelea kuwaka
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK