Hamis Kigwangalla 'Serikali Kutumia HElikopta Kuzima Moto Mlima Kilimanjaro'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Waziri wa Utalii nchini, Dkt. Hamis Kigwangalla amesema wanatazamia kutuma Helikopta na Ndege katika Mlima #Kilimanjaro ili kujaribu kuuzima moto unaoendelea kuwaka kwa siku ya 5 sasa


Jana Waziri Kigwangala alitangaza kuwa wameweza kuudhibiti moto huo, lakini baadaye moto ulianza kusambazwa zaidi na upepo uliovuma katika Mlima huo


Katika ujumbe wake wa Twitter, Waziri Kigwangalla amethibitisha kuwa moto unaendelea kuwaka

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad