Hamisa Mobetto Avujisha SIRI Kubwa 'Nilipata Mimba Tatu za Diamond Platnumz Lakini Zote Zikaharibika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hamisa Mobetto Avujisha SIRI Kubwa 'Nilipata Mimba Tatu za Diamond Platnumz Lakini Zote Zikaharibika

Kwa Mara ya Kwanza kabisa kupitia Kipindi cha The Switch cha @wasafifm , Mwanamuziki na Mjasiriamali hamisamobetto amethibitisha kuwa kabla ya Kumzaa Dylan , alishabeba ujauzito wa Diamond Platnumz mara 3 Lakini ukaharibika bahati mbaya .

Hamisa amesema hayo baada ya kuulizwa kuwa Je , Diamond alishawahi kutaka kupima DNA ili kuthibitisha kuwa Dylan ni Mtoto wake ; ?

Akijibu swali hilo Hamisa amesema : “. Nadhani katika Mtu mwenye uhakika zaidi kuhusu Mtoto kuwa ni wake au sio wake ni Diamond, kwasababu hata kabla sijapata mimba ya Dylan , nilishapata ujauzito wake mara 3 na bahati mbaya ukaharibika” - hamisamobetto


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad