Harmo Awaacha Njia Panda Mashabiki Zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




HIVI karibuni msanii wa muziki wa kizazi kipya Rajabu Abdul ‘Harmonize’ aliwaacha njia panda mashabiki zake baada ya kuposti picha ya mwanaume mmoja akiwa na watoto wawili kwenye akaunti yake ya Insta stori na kuandika ‘Thank you God’ akiwa na maana ya asante Mungu, jambo lililofanya watu waanze kujadili kuwa huenda mke wake Sarah ameshajifungua.


“Mmmh! Jamani ndiyo kusema Sarah kajifungua nini?” alihoji shabiki mmoja bila kupata majibu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad