Hawa Hapa Wachezaji wa Simba Walioitwa Katika Timu zao za Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Klabu ya Simba imewataja wachezaji wake wa kimataifa ambao wameitwa kwenye timu zao za Taifa ambazo wikiendi ijayo zitacheza michezo ya kirafiki.


Wachezaji wenyewe ni Francis Kahata na Joash Onyango ambapo wawili hao wanaichezea timu moja ambayo ni Harambee Stars ya Kenya, Luis Miquissone yeye anacheza ndani ya timu ya Taifa ya Mozambique na mchezaji mwengine ni Clotous Chama yeye anacheza timu ya taifa ya Zambia.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad