Haya Sasa Makubwa...SHILOLE Adai Ana Mimba ya Uchebe...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Usiku wa jana katika hafla ya mama Kijacho Aunty Ezekiel, muigizaji wa filamu na Mjasilimali Shilole amefunguka kuwa na yeye ni mama kijacho mtarajiwa. Shilole alisema maneno hayo alipokiwa akiongea na wageni waalikwa katika shughuli hiyo


Hivi karibuni muigizaji huyo amekuwa akidaiwa kuwa na mahusiano na mpiga picha aitwaye ROMMY. Hata hivyo wawili hao hawajawahi kukiri kuwa ni kweli au la.

Awali shilole alikuwa mke wa kijana Uchebe ambaye kwa sasa ni kama mtu na adui yake kwa kile kinachodaiwa Shilole alikuwa akipokea kipigo cha mara kwa mara kutoka kwa mumewe.

Hata hivyo baadhi ya wadau wamesema huenda mimba ikawa ni ya uchebe

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad