Hili Hapa Ndio Neno la Mwisho la Chadwick Boseman wa Wakanda Kabla ya Kufariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mwezi Agosti mwaka huu dunia na kiwanda cha filamu kilimpoteza mwigizaji maarufu Chadwick Boseman ambaye alifariki kwa ugonjwa wa Saratani ya utumbo mpana.


Sasa Kaka wa marehemu Chadwick aitwaye Derrick ametueleza neno la mwisho ambalo alizungumza mdogo wake siku moja kabla ya kufariki dunia, Boseman alisema "Nipo kwenye hatua ya mwisho, nakuhitaji unitoe nje ya huu mchezo (unipumzishe)" Chadwick alimueleza Derrick ambaye ni mchungaji.


Baada ya kusikia hivyo, Derrick alimsalia na kumuombea kwa Mwenyezi Mungu "Mungu mponye mja wako, Mungu muokeo, Mungu timiza ulitakalo." baada ya hapo siku iliyofuata Boseman alifariki dunia.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad