Jackline Mengi Afunguka kuhusu VITU vya Marehemu Reginald Mengi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Aliyekuwa Mke Wa Aliyekuwa Mwenyekiti Wa Makampuni Ya IPP REGINALD MENGI, JACKLINE MENGI Akifanyiwa Mahojiano Na Kipindi Cha CLOUDS 360 Amesema Baada Ya Msiba Wa Aliyekuwa Mume Wake Hajabadili Kitu Chochote Nyumbani Kwake

-

"Vitu vya Marehemu mume wangu vipo kama vilivyokuwepo zamani, unajua ukimpoteza mtu ambaye ulikuwa unaishi naye siku zote ndani ya nyumba hata ungetoa vitu haibadilishi kwa sababu sura ya huyo mtu inakuwepo na kumbukumbu zake bado zipo, inachukua muda kuizoea hiyo hali ya kutokuwepo kwake" @j_n_mengi, Miss Tanzania 2000

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad