James Mbatia Aangushwa Ubunge Vunjo, Kimei wa CCM Ashinda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Vunjo amemtangaza Dkt. Charles Kimei wa Chama cha Mapinduzi-CCM  kuwa mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo baada ya kupata kura 40,170 – Grace Kiwelu wa CHADEMA amepata kura 8,675, James Mbatia wa NCCR amepata kura 4, 949 na Agustino  Mrema kutoka TLP kura 606


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad