AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Iringa Mjini amemtangaza Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jesca Msambatavangu kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 36,034 dhidi ya mpinzani wake Peter Msigwa Chadema aliyepata kura 19,331. Msigwa alikuwa akilitetea jimbo hilo aliloliongoza kwa miaka 10.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hongera Jesca Mama. Wanawake mnaweza.
ReplyDeleteUkitaka Sekletali KIBEKO yuko tayali
Inasemekana Eti amepiga simu kuomba kujiunga Na Chama Teule.
Wana Iringa tume kueleweni.
Wa lokidowni muende kujiloki dauni.