Kanye West: Lazima Serikali Ijibu Vilio vya Wanigeria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MUIMBAJI wa muziki wa rap nchini Marekani Kanye West ameelezea kuunga mkono Wanaigeria wanaoandamana dhidi ya ukatili uliofanywa na kikosi maarufu cha polisi cha kukabiliana na wizi (SARS).

 

Maandamano yaliyosambaa kote nchini Nigeria yamemlazimisha Rais Muhammadu Buhari kuvunja kikosi hicho. Lakini waandamanaji wanataka maafisa wa kikosi hicho kukabiliana na mkono wa sheria.

 

Kanye West ametuma tweet kwamba serikali ya Nigeria “lazima ijibu kilio cha watu “



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad