Katibu Mkuu wa NATO kufanya ziara yake ya Uturuki jumatatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kulingana na taarifa iliyotolewa na NATO, iliaarifiwa kwamba Stoltenberg atatekeleza ziara yake nchini Uturuki na Ugiriki wiki ijayo.

Katika ziara hiyo, Stoltenberg atafanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki  Mevlüt ÇavuÅŸoÄŸlu pamoja na maafisa wengine wa ngazi za juu siku ya Jumatatu katika mji wakati wa Ankara.


Baadaye Stoltenberg ataelekea Athens ambapo siku ya Jumanne, atafanya mkutano na Waziri mkuu wa Ugiriki  Kiryakos Miçotakis,  Waziri wa Mambo ya Nje Nikos Dendias na Waziri wa Ulinzi Nikos Panagiotopoulos .


Hapo jana, NATO ilitangaza ujio wa utaratibu wa mchakato unaondelea kwa muda mrefu kati ya Uturuki na Ugiriki kuhusiana na suala la utenganishaji wa Mediterania ya Mashariki.


OPEN IN BROWSER

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad