Kimbunga Molave chaua watu 31

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchakato wa uokozi unaendelea nchini Vietnam hii leo, baada ya maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na KimbungaMolave.


Death toll in Vietnam from Typhoon Molave reaches 13


Mamia ya wanajeshi wenye vifaa vizito wametumwa katika maeneo ya ndani ya jimbo la Quang Nam kulikotokea maporomoko ya ardhi na ambako watu 19 wameuawa na wengine 48 hawajulikani walipo.


Aidha miili ya wavuvi 12 imeopolewa baharini hii leo na wengine 14 hawajulikani walipo baada ya boti yao kuzama. Kimbunga hicho kinatajwa kuwa ni kibaya kuwahi kushuhudiwa kwa miongo kadhaa.


21 killed, dozens missing after Typhoon Molave lashes Vietnam | Vietnam |  Al Jazeera


Na kimepiga katikati mwa nchi, ambako tayari kumekuwa kukinyesha mvua kali kwa wiki kadhaa zilizosababisha vifo vya watu wapatao 160.


Zaidi ya watu milioni moja wameathiriwa na dhoruba hizo kali ziliozopiga kwa wiki kadhaa. Mashirika ya kutoa misaada nayo yameelemewa kutokana na idadi kubwa ya walioathirika.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad