Kipchoge akwama London Marathon, Ethiopia wang'aa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mbio za London zimefanyika leo Oktoba 4, 2020, ambapo Mwanariadha Shura Kitata raia wa Ethiopia ameshinda mbio hizo.



Wanariadha walioingia tatu bora, Shura Kitata, Vincent Kipchumba na Sisay Lemma


Kitata ameondoka na medali ya dhahabu baada ya kutumia muda wa Saa 02:05:41. 


Nafasi ya pili imeshikwa na Vincent Kipchumba wa Kenya ambaye ametumia muda wa 02:05:42.


Ilikuwa siku nzuri kwa taifa za Ethiopia baada ya mwanariadha mwingine kutoka nchi hiyo Sisay Lemma, kumaliza wa tatu akitumia 02:05:45.

 

Eliud Kipchoge amemaliza wa 8 ambapo ameeleza kuwa baada ya kilometa 25 alipata maumivu ya sikio lake la kulia na zikiwa zimebaki kilometa 15 kumaliza akapata maumivu ya nyonga hivyo kupunguza kasi yake

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad