Lissu 'Magufuli Aliingia Kwa KURA, Ataondoka Kwa Kura"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema ifikapo siku ya kupiga kura Oktoba 28, wananchi wote wakapige kura kufuta kilio na machozi ya miaka mitano


Akizungumza na wananchi katika kampeni zilizofanyika Hai Mkoani #Kilimanjaro, Lissu amewataka wananchi kuchagua Viongozi watakaoleta Haki kwa kuwa #Tanzania inahitaji Haki


Ameongeza kuwa, Maandiko Matakatifu yanasema #Haki huinua Taifa na sio pesa wala barabara. Amewataka wananchi kupiga kura ili kupata haki na kuondokana na miaka ya njaa



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad