AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema ifikapo siku ya kupiga kura Oktoba 28, wananchi wote wakapige kura kufuta kilio na machozi ya miaka mitano
Akizungumza na wananchi katika kampeni zilizofanyika Hai Mkoani #Kilimanjaro, Lissu amewataka wananchi kuchagua Viongozi watakaoleta Haki kwa kuwa #Tanzania inahitaji Haki
Ameongeza kuwa, Maandiko Matakatifu yanasema #Haki huinua Taifa na sio pesa wala barabara. Amewataka wananchi kupiga kura ili kupata haki na kuondokana na miaka ya njaa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK