Maalim Seif Atakiwa Kufika Mbele ya Kamati ya Maadili Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mgombea wa Urais wa #Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif ametakiwa kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa tuhuma za kukiuka Maadili ya Uchaguzi zilizowasilishwa na Chama cha Demokrasia Makini

Seif ameitwa na Kamati hiyo kutokana na kauli aliyoitoa siku za hivi karibuni ya kuwaambia watu wakapige kura Oktoba 27 mwaka huu badala ya Octoba 28, siku iliopangwa na ZEC

Malalamiko hayo dhidi ya Maalim Seif yanatarajiwa kusikilizwa na kutolewa uamuzi leo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad