AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea wa Urais wa #Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif ametakiwa kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa tuhuma za kukiuka Maadili ya Uchaguzi zilizowasilishwa na Chama cha Demokrasia Makini
Seif ameitwa na Kamati hiyo kutokana na kauli aliyoitoa siku za hivi karibuni ya kuwaambia watu wakapige kura Oktoba 27 mwaka huu badala ya Octoba 28, siku iliopangwa na ZEC
Malalamiko hayo dhidi ya Maalim Seif yanatarajiwa kusikilizwa na kutolewa uamuzi leo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK