Mawakala wanne wa CHADEMA wapoteza maisha kwa ajali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Watu wanne ambao ni mawakala wa CHADEMA, wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea leo Oktoba 21, 2020 kijiji cha Malonji, Sumbawanga, mkoani Rukwa.


Kamanda wa Polisi mkoa wa Rukwa Justine Masejo, amethibitisha na kueleza kuwa watu watatu wamefariki hapohapo na mmoja amefariki akiwa hospitali.


Aidha ACP  Masejo amesema kuwa majeruhi wanaendelea na matibabu akiwemo dereva ambaye yupo chini ya ulinzi.


Ameongeza kuwa gari iliyopata ajali ni Noah yenye namba za usajili T 381 DZQ, huku chanzo kikiwa ni ugeni wa dereva kwenye barabara hiyo na aliendesha gari kwa kasi hivyo ikamshinda kwenye kona na kupelekea ajali.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad