Mazrui apatikana, Abdalla hajulikani alipo Zanzibar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Meneja wa kampeni wa chama cha upinzani cha ACT wazalendo visiwani Zanzibar, amesema kwamba alikuwa ametekwa nyara Jumapili na kutishiwa na watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki, huku mgombea ubunge wa chama hicho akiwa bado hajulikani alipo, siku chache kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano Oktoba 28.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad