AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
JPM ndani ya Zanzibar. Mgombea Urais Kwa tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli Kesho Jumamosi Oktoba 03, 2020 ataunguruma Visiwani Zanzibar Kwenye Mwendelezo wa Kampeni za Kunadi Sera bora za CCM, Ilani na Kuomba Kura Kwenye Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar. Mitambo imehamia Zanzibar. Diamond Platnumz na Wasanii wengine wengi Watakuwepo. #T2020JPM
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK