Mke wa Bongozozo: Nimerudi nyumbani, tumeachana na Bongozozo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




“Mimi na Bongozozo tulipoanza maisha, tulikuwa na hali ngumu, sikumkuta na hela, tulipanga chumba kimoja Iringa, alikuwa mwanafunzi wa Chuo, watu walinicheka wakasema nimeolewa na mzungu gani asiye na hela, walikuwa wanamuita ‘Albino'” Mzazi mwenzie Bongozozo Caro

“Mimi na Bongozozo tulioana tukiwa wadogo sana, muda huu tumepeana nafasi, Mimi na yeye tunaishi nyumba moja japo tumeachana, yeye anakaa flow ya chini mimi nakaa ya juu, tumebaki marafiki, tunalea Watoto” Mzazi mwenzie wa Bongozozo


“Yeye yupo na uhuru kufanya mambo yake na hata kuanzisha mahusiano na mtu mwingine, hatukuachana kwa ugomvi, tulishindwa kutofautisha kati ya mke au wafanyakazi pamoja” Mzazi mwenzie Bongozozo




OPEN IN BROWSER

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad