Moto Wateketeza Nyumba Sinza – Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Nyumba namba 50, iliyopo mtaa wa Sinza D, Vatican jijini Dar es salaam, imeteketea kwa moto leo Jumatatu, Oktoba 12, 2020. Imeelezwa kuwa vitu vyote vimeteketea ndani ya nyumba hiyo bila kuokolewa kutokana na nyumba kuwa imefungwa na wamiliki wake wakiwa kazini.

 

Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa…..!


Endelea kufuatilia habari zetu kwa taarifa zaidi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad