AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyumba namba 50, iliyopo mtaa wa Sinza D, Vatican jijini Dar es salaam, imeteketea kwa moto leo Jumatatu, Oktoba 12, 2020. Imeelezwa kuwa vitu vyote vimeteketea ndani ya nyumba hiyo bila kuokolewa kutokana na nyumba kuwa imefungwa na wamiliki wake wakiwa kazini.
Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa…..!
Endelea kufuatilia habari zetu kwa taarifa zaidi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK