Mtoto wa Mfalme Atuhumiwa Kuhusika na Mauaji ya Khashoggi....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Hatice Cengiz amefungua jarada Mahakamani ili kumshtaki Mohammed Bin Salman kwa kutoa amri ya kuuawa kwa Mpenzi wake, Jamal Khashoggi mwaka 2018


Jamal #Kashoggi alikuwa Mwandishi na mshauri wa Serikali ya Saudi #Arabia hadi alipoanza kuwa mkosoaji mkubwa Serikali hiyo


Jamal aliuawa alipokwenda Ubalozi wa Saudi Arabia ili kuomba kibali cha kumuoa Hatice Cengiz. Mwaka 2019 Mahakama ya Riyadh iliwakuta na hatia watu 3 kwa kuhusika na mauaji hayo


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad