Mwanamuziki John LEGEND na Mkewe Wapata Pigo Kubwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Familia ya Mwanamuziki John Legend wamepata pigo baada ya kumpoteza mtoto wao waliyemtegemea kumpata.


Kupitia kwenye Instagram ya mke wa John Legend, Chrissy Teigen ameandika ujumbe mzito kuhusu kutokea kwa jambo hilo ambapo amesema kuwa sababu iliyosababisha mtoto wao kufariki ni baada yakuvuja damu nyingi kitendo ambacho kimefanya jambo hilo kutokea.


Hata hivyo amewashukuru wote ambao wamekuwa naye pamoja katika kipindi hiki kigumu akiwemo mwanamitindo maarufu duniani Kim Kardashian ambaye amekuwa naye pamoja mwanzo mpaka mwisho katika hali yake.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad