Nandy kafunguka ishu ya kuachana na Billnass

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kwa mara ya kwanza Msanii Nandy ametolea ufafanuzi tetesi za kuachana na Billnass hii ni baada ya maneno kuenea Mitandaoni kuwa wawili hao tayari wameachana miezi michache tu tangu Nenga alipomvalisha pete ya uchumba Nandy .

”Kuhusu kuachana wao wamesema sio Mimi, Wabongo wape picha tu wanakupa caption, tuna Miezi mitano, sita tu, masuala ya ndoa ni mwaka kwanza, kuhusu ndoa ni lini tuombe Mungu“- Nandy


Bonyeza PLAY hapa chini kumtazama Nandy akifunguka 


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad