AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mara ya kwanza Msanii Nandy ametolea ufafanuzi tetesi za kuachana na Billnass hii ni baada ya maneno kuenea Mitandaoni kuwa wawili hao tayari wameachana miezi michache tu tangu Nenga alipomvalisha pete ya uchumba Nandy .
”Kuhusu kuachana wao wamesema sio Mimi, Wabongo wape picha tu wanakupa caption, tuna Miezi mitano, sita tu, masuala ya ndoa ni mwaka kwanza, kuhusu ndoa ni lini tuombe Mungu“- Nandy
Bonyeza PLAY hapa chini kumtazama Nandy akifunguka
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK