AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nape Nnauye amesema upinzani wamerudia makosa yale yale wakati huu wa Uchaguzi kama walivyofanya kipindi cha nyuma na Edward Lowassa pamoja na Frederick Sumaye
Amesema, "Wakati wa Uchaguzi umefika wanataka Mgombea, wakamtafuta Kaka yangu anaitwa Membe. Kaingia mpaka jikoni Kampeni hafanyi, hatoki, amewakaba kooni"
Nape ameongeza "Ndoano ukiibugia haitoki mpaka itoke na utumbo. Hilo limewakaba lazima waanguke nalo, akimaliza kazi atarudi CCM"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK