Nape Nnauye "Mwaka Huu Upinzani Wamerudia MAKOSA Yale Yale"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Nape Nnauye amesema upinzani wamerudia makosa yale yale wakati huu wa Uchaguzi kama walivyofanya kipindi cha nyuma na Edward Lowassa pamoja na Frederick Sumaye


Amesema, "Wakati wa Uchaguzi umefika wanataka Mgombea, wakamtafuta Kaka yangu anaitwa Membe. Kaingia mpaka jikoni Kampeni hafanyi, hatoki, amewakaba kooni"


Nape ameongeza "Ndoano ukiibugia haitoki mpaka itoke na utumbo. Hilo limewakaba lazima waanguke nalo, akimaliza kazi atarudi CCM"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad