Ndugai: Hii Ni Awamu Yangu Ya Mwisho, Sitagombea Ubunge Tena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge Mteule wa Jimbo la Kongwa, Job Ndugai,  leo Oktoba 11, 2020 amesema hii ni awamu yake ya mwisho kugombea ubunge hivyo amewataka wenye nia njema ya kuliongoza jimbo hilo kujiandaa na kujipanga


Ndugai ametoa kauli hiyo leo asubuhi katika Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Mikaeli lililopo Kongwa Mjini mkoani Dodoma.


Job Ndugai amekuwa mbunge wa jimbo hilo tangu mwaka 2000.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad