Nyumbani kwa Jackline Mengi, Mafuriko Yalivyoharibu Vitu vya Thamani (+video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 Jacqueline Mengi ni miongoni mwa baadhi ya Wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam ambao nyumba zao zilikumbwa na adha ya mafuriko kwenye mvua zilizonyesha Jumanne na Alhamis wiki iliyopita.


Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Jacqueline ametuonesha namna nyumba yake ilivyoharibiwa mara baada ya maji kuingia ndani pia vitu vyake vya thamani vikiharibika vibaya.


Kubwa ambalo amesema lilimtoa machozi mbele ya watoto wake mapacha ni kuharibika kwa vitu ambavyo ni zawadi zilizoachwa na marehemu Mzee Mengi ambavyo vilibaki kama kumbukumbu kwake na kwa watoto wake.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad