Ozil Atemwa Arsenal

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


RIPOTI kutoka jijini London zimedai kuwa kiungo mshabuliaji wa Arsenal, Mesut Ozil, ameondolewa kwenye kikosi cha wachezaji 25 cha timu hiyo kinachoshiriki  Ligi Kuu ya England


Orodha rasmi inatarajiwa kuwasilishwa FA jioni ya leo ikimaanisha kuwa Ozil hataweza kuichezea timu hiyo kwenye mechi za ligi hiyo mpaka mwezi Februari 2021.  Pia, hivi karibuni alitemwa kwenye kikosi kitachoshiriki michuano ya Europa.


Ozil ndiye mchezaji anayelipwa mshara mkubwa zaidi ndani ya The Gunners na kocha Mikael Arteta ameonyesha kutomhitaji fundi huyo wa Kijerumani ambaye mkataba wake unamfikia tamati mwakani.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad