“Pemba wakati tunasambaza masanduku ya kupigia kura Polisi walirushiwa mawe”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mkuu wa Jeshi laPolisi nchini, IGP Simon Sirro ametoa wito kwa watanzania katika kipindi hiki chauchaguzi kujihadhari na mihemko isiyokuwa na tija inayoweza kuwaletea matatizo.


Akizungumza nawaandishi wa habari hii leo, Sirro amesema kila mtu anategemewa na familia yake, hivyo ni vyema kuepuka vurugu zinazoweka kuharibu amani iliyopo.


“Kama unajua hutopiga kura usiwe sehemu ya kuanzisha vurugu kwakuwa hapo jana usiku huko Pemba kipindi tunasambaza masanduku ya kupigia kura Polisi walirushiwa mawe hivyohatutarajii kujirudia” Sirro.


Amesema kunamaisha baada ya uchaguzi na kwamba ushindani wowote lazima mmoja ashindena hata kama aliyeshinda ni adui yako unatakiwa uvumilia

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad