Polisi Wamhoji Halima MDEE Kwa Tuhuma za Kumiliki Vinasa Sauti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CHADEMA, Halima Mdee amehojiwa na Polisi kwa tuhuma za kumiliki vifaa vya kunasa sauti kinyume na Sheria za Mamlaka za Mawasiliano (TCRA)

 

Imeelezwa kuwa, jana Mdee alienda Kituoni kuripoti tukio la watu kumfuatilia na alipofika aliwekwa chini ya ulinzi akiambiwa kuna Jalada lake na anahitaji kufanyiwa upekuzi nyumbani

Upekuzi huo ulichukua zaidi ya saa moja na Jeshi la Polisi liliondoka nyumbani kwa Mgombea na kompyuta moja. Mdee aliachiwa kwa dhamana usiku baada ya kuchukuliwa maelezo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad