Pompeo kukutana na mawaziri wa Armenia na Azerbaijan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Majeshi ya Azerbaijan na ya jamii ya Waarmenia leo hii yamekabiliana katika maeneo kadhaa ya Nagorno-Karabakh, ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kuanza kwa mazungumzo ya amani kuhusu mzozo huo huko mjini Washington, yenye shabaha ya kuufikisha mwisho mzozo huo mbaya wa eneo hilo lililozungukwa na milima, ambao umedumu kwa robo karne sasa. 

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo amepangiwa kukutana mawaziri wa Azerbaijan na Armenia katika jitihada mpya za kukomesha umwagaji damu uliodumu karibu mwezi mzima, ambao Rais Vladimir Putin wa Urusi alisema takribani watu 5,000 huenda wameuwawa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad