AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtayarishaji wa muziki hapa nchini, Luffa amefunguka mengi juu ya kuumwa kwake, kwenye mahojiano na Planet Bongo ya East Africa Radio leo amesema
"Niliumwa kama miezi 8, nilikuwa nasumbuliwa na ugonjwa wa 'Appendix' na pafu moja lilikuwa limejaa maji ila namshukuru Mungu sasa hivi nime-recover" - Producer Luffa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK