AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwaongoza watanzania kupiga kura katika kituo cha Idara ya Maji kijiji cha Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Jumatano Oktoba 28,2020 katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaofanyika nchini kote.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK