AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa shirikisho la soka duniani (FIFA) amethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona na sasa amejitenga ili kuangalia afya yake.
Infantino mwenye umri wa miaka 50 sasa amelazimika kujitenga kwa walau siku 10 kabla ya kupimwa tena kuhusiana na mwenendo wa afya yake.
Pamoja na Inafantino kujitenga lakini FIFA tayari imesema imewapa taarifa watu wote waliokutana na Infantino siku chache kabla ya kuthibitika kuumwa na kuwataka wachukue hatua stahiki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK