RC Dar: “Wananchi Nendeni Mkapige Kura, Mkoa Upo Shwari”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge mapema leo amepiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Kawe “A” ambapo baada ya kupiga kura amezungumza na wanahabari na kuwataka wananchi wa mkoa wake kujitokeza kupiga kura kwani hadi sasa hakuna tukio lolote ambalo limeripotiwa la uvunjifu wa amani na hivyo Dar es Salaam ipo Shwari licha ya changamoto ndogondogo ambazo Tume ya Taifa ya Uchaguzi inazishughulikia ili kila mwananchi mwenye sifa ya kupiga kura apate haki yake ya msingi ya kikatiba.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad