Roy Keane: Wachezaji Watamfukuzisha Kazi Ole Man U

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




ROY Keane amewajua juu wachezaji wa Manchester United kwa kusema kuwa kucheza kwao hovyo na kufungwa mabao 6-1 na Tottenham kunaweza kuchangia kocha wao kufukuzwa kazi.


Kocha wa Man United, Ole Gunnar Solskjaer yupo katika presha kubwa kutokana na kiwango kibovu cha timu yake hivi karibuni Keane anasema:


“Kiwango dhidi ya Spurs kilikuwa kibovu, wote huwa tuna siku mbaya lakini kuna baadhi ya wachezaji walikuwa hovyo kabisa.”Mwisho wake nadhani wataigharimu kazi ya Ole.


 


Wachezaji aumia, shakanikuikosa CityRoy Keane:watamuangusha.”Wachezaji alionao walimfukuzisha kazi kocha aliyepita [Jose Mourinho] ndichowakatakachokifanya kwa Ole,” alisema Keane.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad