Sadio Mane akutwa na virusi vya corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona na tayari amejitenga dhidi ya wachezaji wenzake.

Taarifa hizo zinajiri baada ya siku tatu zilizopita, kiungo mpya wa timu hiyo Thiago Alcantara kukutwa na maambukizi ya virusi hivyo.


Taarifa iliyotolewa kupitia Tovuti ya klabu hiyo inaeleza “Kama ilivyo kwa Thiago tutaendelea kufuata miongozo yote, Mane atajitenga kwa kipindi cha siku kadhaa kitakachohitajika”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad