Salamu za Pole Kutoka CCM kwa Walioathirika na Janga la Mafuriko

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Chama Cha Mapinduzi kama Chama chenye kujali Utu na Maisha ya Watu, kinatoa Pole kwa familia za Watu wote waliopoteza maisha na wote walioathirika na Janga la mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha Jijini Dar es Salaam. CCM inawaahidi wananchi wa Dar es Salaam na Watanzania wote nchini kwamba kitaendelea kusimamia na kuboresha maisha ya watu wote kwa Ustawi wa Taifa letu.


#KuraKwaMagufuli2020

#T2020JPM

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad