Sheria ya Zawadi Harusini Hii Hapa...Ukimtaja Mmoja Imekula Kwako

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa ya Tanzania ya 1971 kifungu cha 58, Mtu anapotoa zawadi kwenye harusi kisha akataja jina la Mwanandoa mmoja wakati wa utoaji basi zawadi hiyo itakua halali kwa huyo Mwanandoa mmoja pekee hivyo kama lengo ni kuwazawadia wote, Mtoaji anatakiwa kuwataja wote.

“Mzazi akimtaja Mwanandoa mmoja mfano Jane nakupa mali hii au zawadi hii..... basi zawadi hizo zitakua mali ya Mtu mmoja alietajwa ambae ni Jane, haya ni mambo ya kuzingatia Wazazi kama wanataka kuzawadia Wanandoa wote wanatakiwa kutaja majina ya wawili hao” - Hamza Jabir, Wakili kutoka

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad