Shishi Baby amethibitisha kuwa ni Mjamzito na anatarajia mtoto karibuni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




 Shilole ameendelea kuumiza vichwa vya Mashabiki zake kutokana na matukio kila kukicha mara baada ya kuachana na aliyekuwa mumewe Uchebe.

Shishi Baby amethibitisha kuwa ni Mjamzito na anatarajia mtoto karibuni.Amesema hayo kwenye usiku wa Kijacho Anaoga ya Aunty Ezekiel ambapo alikutana na Wakina mama wengine wajawazito.


Hadi sasa haijulikana Muhusika wa ujauzito huo ni nani, na je ni mjamzito kweli? Au ndo anaendana na upepo wa tukio lenyewe la Kijacho anaoga.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad