AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Bongo movie @stevenyerere2 amempongeza msanii @officialalikiba baada ya kuwaombea bajeti kwa Rais Magufuli ya kutengenezwa Documentary ya Baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere ambayo itaelezea maisha yake.
Akiongea na Bongo5 @stevenyerere2 amempongeza na kusema hiyo ndio maana ya kuitwa KING 👑 wa muziki wa Bongo Fleva. Pia ameongeza kuwa watu wengine walikuwa wanaupuuzia sana Bongo Movie lakini @officialalikiba ameonyesha kuwa hiyo tasnia ina umuhimu mkubwa.
Pia amewakanya wale wanaosema wasanii wengi kuipigia kampeni CCM kuwa njaa zinawasumbua amewajibu haya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK