Steve Nyerere: Bora Alikiba kaona thamani ya Bongo movie, hiyo ndio maana ya kuwa King wa Bongo Fleva

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa Bongo movie @stevenyerere2 amempongeza msanii @officialalikiba baada ya kuwaombea bajeti kwa Rais Magufuli ya kutengenezwa Documentary ya Baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere ambayo itaelezea maisha yake.


Akiongea na Bongo5 @stevenyerere2 amempongeza na kusema hiyo ndio maana ya kuitwa KING 👑 wa muziki wa Bongo Fleva. Pia ameongeza kuwa watu wengine walikuwa wanaupuuzia sana Bongo Movie lakini @officialalikiba ameonyesha kuwa hiyo tasnia ina umuhimu mkubwa.


Pia amewakanya wale wanaosema wasanii wengi kuipigia kampeni CCM kuwa njaa zinawasumbua amewajibu haya.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad