Tanzania yapokea kichapo kutoka kwa Burundi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Timu ya taifa ya soka ya Tanzania, imekubali kichapo cha goli 1-0 kutoka kwa Burundi kwenye mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye uwanja wa Mkapa jijini Dar es salaam

Tanzania ilikosa nafasi kadhaa kipindi cha kwanza na cha pili kupitia kwa nyota wake Simon Msuva, Mbwana Samatta na wengine kabla ya Burundi kutumia nafasi.

Dakika ya 80 kiungo wa Tanzania na klabu ya Simba Jonas Mkude alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kuwa na majizano na mshambuliaji Saido Berahino.

Dakika ya 86 mshambuliaji wa Burundi Saidi Ntibazonkiza akaifungia goli timu yake ambalo limedumu mpaka dakika 90 zinamalizika

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad