AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya taifa ya soka ya Tanzania, imekubali kichapo cha goli 1-0 kutoka kwa Burundi kwenye mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye uwanja wa Mkapa jijini Dar es salaam
Tanzania ilikosa nafasi kadhaa kipindi cha kwanza na cha pili kupitia kwa nyota wake Simon Msuva, Mbwana Samatta na wengine kabla ya Burundi kutumia nafasi.
Dakika ya 80 kiungo wa Tanzania na klabu ya Simba Jonas Mkude alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kuwa na majizano na mshambuliaji Saido Berahino.
Dakika ya 86 mshambuliaji wa Burundi Saidi Ntibazonkiza akaifungia goli timu yake ambalo limedumu mpaka dakika 90 zinamalizika
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK