AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji wa Shirika la Habari Tanzania (TBC), ELISHA ELIA MWAKAGALI amefariki Dunia hii leo Jumamosi, Oktoba 24, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokua amelazwa kwa matibabu.
Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dkt. Ayub Rioba amethibitisha kutokea kwa msiba huo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK