TP Mazembe Wamtoa kwa Mkopo Singano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mchezaji wa zamani wa Simba SC na Azam FC mtanzania Ramadhani Singano ametolewa kwa mkopo wa mwaka mmoja kwenda Nkana FC ya Zambia akitokea TP Mazembe ya Congo DR.


Singano alijiunga na TP Mazembe pamoja na Eliud Ambokile lakini uwepo wa wachezaji mahiri lukuki katika club ya TP Mazembe kumemfanya kukosa nafasi ya kucheza.




TP Mazembe inaarifiwa kuwatoa kwa mkopo Singano na Isaac Amoah kwenda Nkana FC ili wapate muda wa kucheza na kuboresha viwango vyao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad