Tundu Lissu "Ni Kweli Nina TIKETI ya Kwenda Ubelgiji 18 December"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amethibitisha kuwa, ni kweli ana tiketi ya ndege ya kuondoka nchini Desemba 18, 2020 kwenda Ubelgiji


Lissu amesema ataenda kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata baada ya kupigwa risasi mwaka 2017, ambapo daktari wake amemuambia Desemba 20 arudi Ubelgiji ili aangalie maendeleo yake


Lissu mesema hayo akimjibu Mgombea wa Urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ambaye alisema ana taarifa kuna baadhi ya wagombea wana tiketi za ndege ili wakimbie wakisababisha fujo nchini

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad