AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amethibitisha kuwa, ni kweli ana tiketi ya ndege ya kuondoka nchini Desemba 18, 2020 kwenda Ubelgiji
Lissu amesema ataenda kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata baada ya kupigwa risasi mwaka 2017, ambapo daktari wake amemuambia Desemba 20 arudi Ubelgiji ili aangalie maendeleo yake
Lissu mesema hayo akimjibu Mgombea wa Urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ambaye alisema ana taarifa kuna baadhi ya wagombea wana tiketi za ndege ili wakimbie wakisababisha fujo nchini
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK