Vanessa Anogesha Penzi na Rotimi Kifuani Mwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


NI muendelezo wa matukio ya mahusiano ambayo yanafuatiliwa na watu wengi hapa nchini Tanzania kati ya msanii Vanessa Mdee na mpenzi wake Rotimi wa Nigeria na Marekani baada ya kuchorana tattoo kwenye miili yao.

 

Video ambazo zimetawala kwenye mitandao ya kijamii zimewaonyesha kila mmoja kumchora tattoo mwenzake ikiwa kama ni ishara ya upendo, urembo na kumbukumbu kwenye mahusiano yao.

 

Rotimi amesema ana michoro mingi kwenye mwili wake ikiwemo ya picha ya Yesu, ‘Ego’, Simba na sehemu ya peponi, pia akaongeza kusema ana tattoo yenye jina la Vanessa Mdee mkononi mwake.

 

Aidha kwa upande wa Vanessa Mdee, yeye akaonyesha tattoo yenye jina la Rotimi ambayo ameichora maeneo ya kifuani mwake.

 

Siku kadhaa zijazo wawili hao wanatarajia kutimiza mwaka mmoja tangu walipoanzisha mahusiano yao mwezi Oktoba 2019.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad